Tuesday, January 25, 2011

IJUE MAKUMBUSHO YA TAIFA YA MAJIMAJI KATIKA MANISPAA YA SONGEA

 Wazee wa kingoni wakicheza ngoma yao ya ligihu ambayo ilachezwa na wazulu wa Afrika kusini.ngoma hii ni maarufu inachezwa wakati wa sherehe na matukio ya kuonyesha jadi ya wangoni na walikotokea.
 Ngoma hiyo huchezwa na wazee wakiume na kike wakiwa wameshika kishoka kwa kingoni ni kinjenje na ngao iliyotengenezwa kwa ngozi ikiwa ni kama kifaa cha kuzuia mkuki au kinjenje kisimkate.kwa kukinga kwa adui wake.
Hawa walitoka Afrika ya kusini wakiukimbia utawala wa Chaka Zulu na kuelekea Zimbabwe na matawi mengine yalifika Tanzania

No comments:

Post a Comment