Sunday, January 23, 2011

SERIKALI KATIKA KUTEKELEZA KAULI MBIU YA KILIMO KWANZA INAZIDI KULETA PEMBEJEO ZA KILIMO SONGEA

Lori hilo lina shehena ya mbolea kwa ajili ya kukuzia mahindi mkoani Ruvuma katika wilaya zake za Tunduru,Namtumbo,Songea,Mbinga na wilaya mpya ya Nyasa.

Lori kama hilo  yanaingia mkoani hapa  ili kukidhi mahitaji ya wakulima,ila tatizo mbolea ya Ruzuku unayotolewa kwa wakulima haitoshelezi,kwani mfuko mmoja wa kilo 25 hautoshi kuweka katikaheka moja.wakulima wanaiomba serikali kutoa mifuko 3 ya mbolea  ya kupandia kwa mkulima mmoja.

No comments:

Post a Comment