Sunday, January 23, 2011

JUMAPILI YA LEO NIMEKULETEA UONE MAENDELEO YA NA CHANGAMOTO ZA MJI WA SONGEA.

 Hayo ni mazingira ya standi yetu ya mabasi yaendayo nje ya mkoa wa Ruvuma  na jinsi inavyoonekana.mabasi yanaenda Dar es salaam,Mbeya,Iringa,Mbinga,Tunduru,Pamoja Taxi yanapatikana katika standi hiyo
 Huu ni moja ya mitaa ya mji wa Songea
vijana hawa wako katika harakati za kujipatia kipato kwa kuuza mananasi,wanasema mananasi hayo yanatoka Chalinze Kibaha,mengine Morogoro kwa hiyo inawalazimu kuuza kwa bei ya juu ili kupata faida,kuanzia shilingi 1,000/= hadi 2,000/=

No comments:

Post a Comment