Tuesday, January 25, 2011

Upepo na mvua ya sababisha vifaa vya Chuo cha Ushirika Songea kuwekwa darasani

 Bibi Benigna Filipo Haule akionyesha baadhi ya typewriter ambayo hutumika kufanyia kazi katika ofisi hiyo,baada ya computer za kituo hicho kuibiwa kufuatia wizi mdogo mdogo unaofanyika kutoka na ubovu wa ofisi hiyo.
 Hivyo ni vifaa na nyaraka za ofisi ya mkuu wa kituo hicho MUCCOBS Ruvuma kufuatia maafa ya mvua tarehe 18 mwezi huu mwaka 2011.uliyo sababisha nyumba nyingi za wakazi Manispaa ya Songea kuezuliwa na nyingine kuanguka.
kaimu mkuu wa chuo hicho Bibi Benigna Filipo haule akionyesha jinsi upepo ulivyo sababisha dari ya darasa lililo hifadhiwa vifaa vya ofisi vikiwemo vyaraka kadhaa za chuo hicho MUCCOBS Ruvuma Katika Manispaa ya Songea.

No comments:

Post a Comment