Sunday, January 2, 2011

SALAMU ZA MWAKA MPYA WA 2011 KWA WATANZANIA RAIS KIKWETE ATARAJIA KUUNDA TUME YA KATIBA YA TANZANIA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Jakayaa  Kikwete,anatarajia kuunda tume ya marekebisho ya Katiba ya Tanzania, ambayo wadau mbalimbali wa vyama vya siasa,wasomi ,wananchi wote wenye mawazo yenye kuleta mshikamano wa pamoja wa kulieta maendeleo ya taifa,siku alipowatakia wananchi Heri ya mwaka mpya wa 2011.

Alisema kuwa jambo hilo ni jema,ila ilahitaji busara ya hali ya juu katika kupata Katiba,alisema hakuna haja ya malumbano,bali kila mwananchi anahitajika kuchangia mawazo yake,kulingana na mahitaji ya jambo lenyewe..

No comments:

Post a Comment