Sunday, January 30, 2011

SHIRIKA LA KIPAPA MATARAWE LAPATA VIONGOZI WAKE

 Shirika la Kipapa Kigangocha Matarawe kimepata viongozi wake,wakwanza kulia ni Charity  Gama  mwenye gauni  la Bluu Mwenye Kiti,anayefuatia mwenye nyeupe Charity Zeite ni Katibu mkuu.na mwenye gauni la dark blue Angela Mbithile mwenyekiti msaidizi na wa mwisho kulia mwenye gauni nyenkundu ni Agnes Hokororo ni mweke hazina.na Epifania Tolle mwenyekiti msaidizi hayupo kwenye picha.

Uongozi hauhitaji umri bali ni Imani ni kwa njinsi gani watu wanavyo mwamini,ndiyo maana watoto wa shirika la kipapa katika kigango cha Matarawe walivyo wachagua hao kuwa viongozi wao katika shirika lao.
Walezi wa watoto hao wa shirika hilo ni Bibi Beata Ponera mwenye gauni leusi na maua na Bibi  Lucy Mhagama mlezi msaidizi, Ndiyo wanaosimamia malezi ya watoto wa shirika la Kipapa kwa kuwa na rehema ya hali ya juu.

No comments:

Post a Comment