Wednesday, January 12, 2011

MWENYE MACHO HAMBIWI TAZAMA,,JINSI MIUNDOMBINU ILIVYO BORESHWA NCHINI

Huo ni mfano tu mmojawapo wa jinsi serikali ya Awamu ya nne ilivyo boresha miundombinu yake,hapo unapopandisha kuingia Iringa mjini kwa bas,lori gari digo,pikipiki baiskeli au kwa miguu.Tunategemea na barabara ya masasi,Tunduru hadi Mbamba Bay itakuwa hivyo Mhe Magufuli alione hilo Kusini  wananchi wanapenda kuona barabara za lami kama wanavyo faidika wananchi wa kaskazini peke yao.

No comments:

Post a Comment