Wednesday, January 12, 2011

SHEREHE ZA MIAKA 47 YA MAPIDUZI ZANZIBAR WAFUNGWA 33 WASAMEHEWA KATI YAO MWANAMKE MMOJA

Rais Dr Ally Mohamed Shen wa Zanzibar amewasamehe wafungwa 33 kati yao mmoja ni mfungwa wa kike.Waliosamehewa kifungo ni  pamoja na wazee na wenye magonjwa mbalimbali.wakati wa maazimisho ya miaka 47 ya Mapinduzi ya Zanzibar.

No comments:

Post a Comment