Saturday, January 15, 2011

UPEPO MKALI ULIYOEZUA MAJUMBA YA WATU SONGEA MWAKA JANA, ULIPUTUPA MABLI MADISHI YA TV YA WATU LIKIWEPO NA LA TUJIFUNZE KUSINI

Fundi Gama mtaalamu wa kuweka TV Dish katika Manispaa ya Songea,akitafuta Channels katika Dish la TUJIFUNZE KUSINI baada ya Kurushwa na upepo mkali mwaka naja.aliyesimama karibu naye ni Second master wa Sekondari Lizaboni,na aliyevaa koti akiwaangalia ni Mhariri wa Msaidizi Bwana Juma Nyumayo  wa TUJIFUNZE KUSINI akishuhudia utaalamu wa mafundi hao,pia ni watumishi wa Umma.

No comments:

Post a Comment