Tuesday, February 28, 2012

WAZEE WA KINGONI WALINYONGWA KWA KUTUMIA KAMBA NA KUZIKWA KATIKA KABURI MOJA WATU 66

 Hapo ni wapigania uhuru waliokataa kutawaliwa na wajerumani walinyongwa kwa kamba hadi kifo.
 katika eneo hilo sasa pamejengwa mnara wa kumbukumbu ambapo katibu mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Bi. Maimuna Tarishi anaweka silaha Kibonga ama kirungu.
 Kisha walizikwa katika kaburi moja watu 66 ambapo baada ya kuweka mashada ya maua viongozi wa madhehebu ya dini waomba dua zao.

 Shekhe Abdalah Hassan Amiri Mkonyogole wa Msikiti wa Hudda Shehke mkuu wa Mkoa akisoma dua katika kaburi hilo.


Padre Dkt Dunstan Mbano akiendesha ibada fupi ya kuwaombea marehemu hao wakae mahali pema peponi.

No comments:

Post a Comment