Saturday, February 4, 2012

WASHIKA BUNDUKI WA TIMU YA MLALE JKT IMETOKA SULUHU NA MAJIMAJI KATIKA UWANJA WA MAJIMAJI MJINI SONGEA

 Timu ya JKT Mlale leo katika pambano la kuwania tatu bora itakayoingia fainali katika Ligi ya Taifa ya Daraja la kwanza ambayo leo viwanja vya majima Songea,Sokoine Mbeya na Jamhuri Morogoro nyasi zimeng'oka.iliyo toka sare na Majimaji ya rezorezo.
 Timu ya Mlale JKT kabla ya kwenda mapumziko.
 Mchezji wa timu ya JKT Mlale Bw.Edward Malimi aliyelala baada ya kuchezewa rafu na mchezaji wa timu ya majimaji.
 Kikosi hicho kikisubiri baraka ya mgeni Rasmi ambaye alikuwa Mwenyekiti wa mpira wa miguu mkoani Ruvuma Bwana Joseph Mapunda.

Edward Malimi Mchezaji wa Mlale JKT akipata matibabu.baada ya kuumizwa na mchezaji wa timu ya majimaji.

No comments:

Post a Comment