Friday, February 24, 2012

Kamishina wa Jeshi la Polisi nchini Paulo Chagonji ameongea na waandishi wa habari wa Press club kuhusu ufafanuzi wa vifo vilivyotokea Songea


 Amesema katika vifo vyote vilivyotokea Songea hakuna kilicho husiana na ushirikina,na hakuna hata mmoja aliyetolewa sehemu zake za siri kama ilivyo ripotiwa.aidha alisema katika watu waliyokufa wakati wa kuzuia maandamano ni watu wawili tu ndiyo waliuawa na mmoja alikufa kutokana na ajali ya pikipiki.Alisema na Polisi wote waliyo sababisha mauaji wamechukuliwa hatua za kinidhamu.Na watu waliysababisha vurugu za kupiga mawe ofisi nao wamechukuliwa hatua.
Kamishina ameongea na wanachama wa Press Club leo katika ukumbi wa SACCOS Majengo  katika Manispaa ya Songea  Ruvuma





No comments:

Post a Comment