Sunday, April 24, 2011

WATAALAMU WA KUCHIMBA NA KUSAFISHA SEHEMU NYAO FOOT PRINT LAITONI ARUSHA ZINAENDELEA

 Huyu kiumbe aliyeishi Laitoni Arusha nyayo zao zipo Laitoni zimehifadhiwa kitaalamu na sasa zimekuwa kivutio na chanzo cha ingizia fedha za kigeni kwa shughuli za utalii.
 Hayo ni mafuvu ya viumbe hao ambao inasemekana kuwa hawakuwa na lungha ila walikuwa wakitoa sauti tu
 Mtangazaji wa TBC akihojiana na mtaalamu wa mambo ya kale katika kijiji cha laitoni,akisema vijana wa kimasai wamefundishwa jinsi ya kupokea na kutembeza watalii.Alisema serikali kwa kushirikiana Wizara ya Utalii na maliasili na Ujenzi zimeweka miundo mbinu ya barabara kuwa bora ya kupitika majira yote ya mwaka.
Wataalamu wa nje na wandani ya nchi wakisafisha nyao ( foot Print ) za Binadamu wa kwanza aliyeishi eneo hilo la kihistoria Laitoni Jijini Arusha - Tanzania.

No comments:

Post a Comment