Sunday, April 24, 2011

SIKUKUU ZINA MAMBO YAKE ILIKUWA HIVI JUMAMOSI KUU ONE WAY MJINI DODOMA

Hekaheka za maandalizi ya sikukuu ya Pasaka zilikuwa zikijitokeza kila uendapo katika Manispaa ya Dodoma Jumamosi Kuu,watu walikuwa wakitafuta mahitaji kwa ajili ya Pasaka.Lakini kutokana na umati wa watu katika mitaa ambayo ni mifinyu kwa ajili ya watu na magari na pikipiki,Dereva wa Taxi  ambaye alikuwa nyingi asubuhi subuhi alijikuta anamkwaruza mwendesha pikipiki.Ikawa pata shika washukuru Mungu Trafic hawakutokea.

Pombe hizi jamani zinaleta mambo hasa wakati huu wa sikukuu,Serikali inashauri waendesha vyombo vya moto wawe makini siku hizo,na wasiwe nyingi wakiwepo barabarani lakini haisaidii.Tufanye nini kuepuka ajali?

No comments:

Post a Comment