Sunday, April 24, 2011

Nyoka na sifa zao Dr.Victor Mwafongo

 Dokta Victor Mwafongo anachanganua aina za nyoka.Alitaja kuwa ni pamoja na nyoka wa :-
  • Wa shimoni
  • Miti  
  • Baharini
  • Misitu
Wapo wenye sumu kali kama green mamba ( Cobra ) wenye sumu wana meno marefu ya juu,wale wenye meno madogo madogomadogo hawana sumu.

Wale watu wanaochezea nyoka kuwa wanawatoa meno ndipo wanacheza nao nyoka hao haijalisha anasumu au laa.

No comments:

Post a Comment