Thursday, April 28, 2011

RAHA YA NDOA NI KUKAA PAMOJA MME NA MKE KUKAA PAMOJA KUPANGA MIKAKATI

Inapendeza kweli kweli kama Wana - Ndoa wakiwa pamoja katika kupanga mikakati ya kuendeleza miradi yao ,sehemu ya kazi ambapo leo Manispaa ya Songea wananchi wake wameadhimisha sherehe za usalama na afya kazini.Kama Blog hii ilipowakuta Mr& Mrs gaston Chembele ofisini kwao leo.
Ofisi yao ipo mkabala na Benki ya NMB Songea na Soko kuu,wauzaji wa pikipiki za MWADA Jet Fighter zenye nguvu na nzuri kwa yebo yebo.

No comments:

Post a Comment