Monday, April 25, 2011

Sisi ni Wanzibar na wao ni Wanzibara- Muasisi wa Muungano Mwalimu Julius Nyerere

 Maadhimisho ya miaka 47 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ni matokeo ya wasisi wa Muungano huo Mwalimu Julius Nyerere na Rais wa Serikali ya Mapinduzi Amani Abed Karume tarehe 26 Aprili 1964.
Huwezi Kuutenga Muungano,kufanya hivyo ni dhambi kubwa,lakini kuna watu wenye mitazamo yao wanataka kuuvunja Muungano huo ambao umewaunganisha wananchi wa Tanganyika na Zanzibar.Tujaribu kurejea hotuba za Baba wa Taifa Mwl. Nyerere.

No comments:

Post a Comment