Monday, April 25, 2011

AMIRI MKUU WA VIKOSI VYA ULINZI NA USALAMA DKT KIKWETE MGENI RASMII MIAKA 47 YA MUUNGANO

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri mkuu  wa vikosi vya ulinzi na usalama Dkt Jakaya  Kikwete atakuwa Mgeni Rasmi katika kilele Muungano wa Tanganyika na zanzibar, Tarehe 26 Aprili 2011 kwenye uwanaja wa Amani Mjini Zanzibar.

No comments:

Post a Comment