Wednesday, April 13, 2011

KUMBE SOKWE NAO WANA UTAWLA?

Hifadhi ya Taifa ya Gombe ni kivutio kikubwa sana kwa watalii,Hifadhi hiyo  ina Sokwe ambao wana utawala wa kuachiana.Kwa  mujibu wa wakuu wa hifadhi hiyo ni kwamba kiongozi wa sasa wa Sokwe hao ni mkali sana.Inasemekana kuwa aliwahi kujamiiana na mama yake hivyo aliugua sana.

Aidha sokwe akiugua wanatabia ya kujitafutia dawa ya majani au mizizi,wakitumia dawa hizo wanapona.Sokwe hao wanapenda kuwa karibu na binadamu.Karibu Tanzania ukajionee maajabu ya vivutio mbalimbali.

No comments:

Post a Comment