Saturday, April 30, 2011

SEND OFF YA CATHERINE MWIKWA YA AINA YAKE SONGEA CLUB

 Sen - Off ya Binti Leopord Mwikwa Catherine Mwikwa kulia wakiingia katika ukumbi wa Songea Club jana.
 Catherine na Mme wake baada ya kuingia ukumbini Songea Club Songea
 Catherine akikata keki ili alishe mmewe wazazi na wageni waalikwa.
 Catherine apeleka keki kwa mwenyekiti wa kamati ya sherehe Songea Club.
 Mama mzazi wa Catherine apewa zawadi na wanawake wenzake wa kwenye vikundi vyake Bibi Dikoral Mwikwa katika Ukumbi wa Songea Club jana.
Catherine akimlisha Dr.Tonya kwa niaba ya marehemu Baba yake Leopord Mwikwa ambaye alisimama kama mzazi upande wa kike.Send - off hiyo ilihudhuriwa na zaidi ya watu 700.

No comments:

Post a Comment