Wednesday, April 13, 2011

NI KWELI USEMI HUU,MTU ANA VIDOLE 11 VYA MKONO?

Kuhakikisha kuwa mtu ana vidole 11,hebu hesabu vidole vyako kuanzia kidole gumba hadi cha meisho kama hivi. 10,9,8,7,6 + 5  =  11 Je unakubaliana na kubaliana na theory hii? Hii inathibitisha kuwa wa kwanza anaweza kuwa wa mwishi na wamwisho akawa wa kwanza.

No comments:

Post a Comment