Monday, April 25, 2011

JUMA TATU YA PASAKA , NILITEMBELEA KUONA RELI YA KATI YA DAR ES SALAAM HADI KIGOMA NILIONA KAMA HIVYOO!!1

 Hapa ni Dodoma Railway Station ukiangalia mbele yako Train inaelekea kigoma,Ukweli miundo mbinu ya Shirika hili ni mibaya ndiyo maana ajali nyungi zinatokea kila mara katika Reli ya kati kwa sababu reli hii imesahaulika hakuna usafi ,hakuna uangalizi wa kuchunguza mataluma yaliyo tolewa na wahujumu wa mali ya umma.
Hapa Reli hii inaelekea Dar es salaam ona ilivyo kuwa na nyasi nyingi ,sasa hapa ni mjini Dodoma je huko katikati ya safari kama vile Zuzu, Malampaka,na sehemu nyingine kukoje,tatizo yale magenge ya wafanya kazi wa Reli hayapo tena.Serikali inusuru Reli hii kwa kuwa ni kiungo pekee cha safirisha mizigo kwenda nchi jirani.

No comments:

Post a Comment