Thursday, April 28, 2011

VIKOMBE VYA MWAGWA KWA WASHINDI WA USALAMA NA AFYA KAZINI SONGEA UNGNA NAMI UJIONEE

Waziri wa kazi na Ajira Mhe.Gaudensia kabaka akimkabidhi mshindi wa jumla Bwana Isack Senya wa Safety Superintendent baada ya kufunga maadhimisho ya usalama na afya kazini katika uwanja wa majimaji Manispaa ya Songea Mkoani Ruvuma

 Hivyo ni vikombe ambavyo Waziri amevigawa kwa makampuni yaliyoshinda katika usalama na afya kazini katika maadhimisho ya usalama na afya kazini, ambapo Shirika la Kazi Duniani (ILO) limeungana na Serikali ya Tanzania,waajiri na wafanyakazi Duniani leo.

No comments:

Post a Comment