Thursday, April 28, 2011

BAADHI WAJITOKEZA KUPIMA UKIMWI KWA HIYARI KATIKA BANDA LA USHAURI NASAHA SONGEA LEO

Baadhi ya wafanyakazi na wananchi wa Manispaa ya Songea wakiwa katika foleni ya kwenda kupima UKIMWI kwa hiyari kwenye banda la ushauri nasaha katika maadhimisho ya usalama na afya kazini leo katika uwanja wa majimaji Manispaa ya Songea leo.

No comments:

Post a Comment