KARIBU TANZANIA KUJIONEA MAAJABU YA DUNIA KATIKA MBUGA ZETU, VIVUTIO MBALILMBALI KATIKA MAKUMBUSHO YETU.KARIBU KUSINI MWA TANZANIA
Monday, April 25, 2011
BLOG YA TUJIFUNZE KUSINI INAWA WATAKIA WATANZANIA WOTE SIKUKU NJEMA YA MIAKA 47 YA MUUNGANO
Tarehe 26 Aprili 2011 Tanzania inaadhimisha miaka 47 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ulioasisiwa tarehe 26 Aprili 1964 kwa yaliyokuwa mataifa mawili.Hongera Wa - Tanzania kwa kudumisha muungano huo.
No comments:
Post a Comment