Monday, April 25, 2011

BLOG YA TUJIFUNZE KUSINI INAWA WATAKIA WATANZANIA WOTE SIKUKU NJEMA YA MIAKA 47 YA MUUNGANO

Tarehe 26 Aprili 2011 Tanzania inaadhimisha miaka 47 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ulioasisiwa tarehe 26 Aprili 1964 kwa yaliyokuwa mataifa mawili.Hongera  Wa - Tanzania kwa kudumisha muungano huo.

No comments:

Post a Comment