Sunday, April 24, 2011

Blog hii inaungana na wakristo wote duniani kuadhimisha kifo na kufufuka kwake Yesu Kristo kwa Ibada na nyimbo kama hivyo

Mtaalamu  wa nota katika muziki akikolezea kwaya ya Parokia ya Makole siku ya Pasaka leo Manispaa ya Dodoma.
l
 Picha ya pamoja ya wanakwaya hawa wakati wakiimba ule wimbo wa Aleluya bwana amefufuka aleluya.
Wana - kwaya hao wakitoka nje baada ya Ibada ya kwanza kanisani hapo.

1 comment: