Thursday, April 14, 2011

WANANCHI WA MKOA WA RUVUMA WAMEPOTEZA TUMAINI YA KUONA SOKA TENA

Wapenzi wa soka wa ndani na nje ya mkoa wa Ruvuma wamepoteza tumaini ya kuona soka katika uwanja wa majimaji ( Wa- na lizombe ) baada ya Timu hiyo kushuka daraja.

Sijui alaumiwe nani katika kushuka Daraja Timu ya Majimaji,Ulaumiwe uongozi wa serikali ya mkoa?,wanaoongoza timu hiyo?,usajili mbaya wa wachezaji?,huduma mbovu kwa wachezaji hao?.hakuna wafadhili wa timu hiyo?.

Hebu wenzetu walio nje ya mkoa wa Ruvuma wenye uwezo kusaidia timu hiyo ili kurudisha hadhi yake kama miaka  ya 70.


No comments:

Post a Comment