Sunday, February 17, 2013

TUNAWATAKIA KWAREMA NJEMA WATAKAO JALIWA KUFUNGA KATIKA MFUNGO WA KWARESMA SIKU 40.LEO IKIWA JUMAPILI YA KWANZA YA KWARESMA

 Paroko msaidizi wa Parokia ya Jimbo kuu la songea Padre Otieno akipokea vipaji kutoka kwa Jumuiya ya Mtakatifu Joseph ya Mfaranyaki  katika ibada takatifu ya kwanza leo katika kanisa kuuu la Mt.Matias Mulumba Kalemba Songea.
 Vipaji
 Vipaji
Rv.Father  Otieno akitoa baraka baada ya kupokea vipaji hivyo

No comments:

Post a Comment