Tuesday, February 12, 2013

MAZINGIRA MAZURI YA KUFUNDISHIA NI PAMOJA NA VIFAA KATIKA SHULE ,MKUU WA SHULE KALEMBO SEKONDARI BW.HAULE ANATHIBITISHA UKWELI HUO

 Mkuu wa Shule ya sekondari Kalembo iliyoko katika Manispaa ya Songea Bwana Bosco Haule alithibitisha usemi huo katika ofisi za TUJIFUNZE wakati alipofika kuchukua maandalio ya masomo kwa walimu wake ambavyo alivichapisha. Bwana Haule ni yule aliyevaa kaumda suti ya buluu nyepesi pamoja na mhariri wa Ttujifunze  Ofisini kwake hivi karibuni.



Bw.Haule ameshika maandalio ya masomo kwa ajili ya walimu wake ,ambayo atayagawa kwa walimu ili kupunguza ghasia ya kuandalia kwenye karatasi.

No comments:

Post a Comment