Saturday, February 16, 2013

JUMATANO YA MAJIVU NDIYO SIKU WAUMINI WANAO MWAMINI KRISTO WANAANZO SIKU 40 ZA TOBA ZA KUJUTA MAKOSA YAO,KESHO YAKE IKAWA SIKU YA WAPENDANAO KATIKA MJI WA SONGEA

 Hivyo ndivyo siku ya wapendanao ilivyo kuwa katika manispaa ya Songea ,ambapo jana yake ilikuwa siku ya majivu kwa wale wanaomwamini Yesu Kristo ambapo alifunga siku 40 jangwani.Basi ni wakati sasa wa kujirudi na kujuta makosa ambayo binadamu kamkosea Mungu.
 Blogger alipita mitaa ya Kanisa la Anglican katika Manispaa hiyo hakusita kuona jengo la kitega uchumi la Chama Cha Walimu Tanzania  ( CWT ) kuonyesha pamoja na siku ya majivu lakini bado tunamshukuru Mungu kwa Maendeleo yanayo fanya katika Manispaa hiyo.
Hatimaye Blogger alifutiwa na utitili wa mitandao ya simu kwenye miamvuli nje ya soko Kuu la Manispaa ya Songea.hiyo ni kuonyesha ni kwa kiasi gani mitandao inavyo shindana katika kuwavutia wateja wake.Ruvuma Inavuma na Mbinga ni Mbinguni kwa Kahawa,Makaa ya mawe na vivutio lukuki.

No comments:

Post a Comment