Monday, February 18, 2013

ASKOFU DR.VALENTINO MOKIWA AITAKA SERIKALI KUJADILI MAUAJI

 Askofu Dkt Valentino Mokiwa katika mahojiano na vyombo vya habari kuhusu mauji yanayoendelea nchini ya baadhi ya viongozi wa madhehebu fulani ya dini,amesema Serikali ikae na viongozi wa dini zote kujadili suala hili la kikatili linaloendelea Tanzania Bara na Visiwani.
Naye Bwana Huyo alivyo hojiwa na ITV jana kuhusu mauaji yanayo endelea,alisema Serikali ifanye msako wa kuwasaka wauaji,kwa kuwa amani inazidi kutoweka miongoni mwa Wa- Tanzania, 'erikali bado haijachukua hatua za kuosha kukomesha mauaji'. Alisema Bw. huyo.

No comments:

Post a Comment