Wednesday, February 27, 2013

MKUU WA MKOA WA MOROGORO AHUDHURIA MAADHIMISHO YA MASHUJAA RSONGEA RUVUMA LEO

 








 Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe.Joel Bendera akisalimiana na mwandishi wa habari na mhariri msaidizi wa magazeti vijiji Kanda ya Kusini  ,na pia Ripota wa Radio UHURU FM Bw.Juma Nyumayo katika viwanja vya makumbusho ya majimaji Manispaa ya Songea leo.
Mhe. Balozi Khamis Kagasheki  Waziri wa Maliasili na Utalii mwenye mgolole mweupe akiteta jambo na wakuu wa mikoa ya Ruvuma na Morogoro leo Katika viwanja vya Makumbusho ya Taifa ya Majimaji katika Manispaa ya Songea leo.

No comments:

Post a Comment