Sunday, February 3, 2013

JUMAPILI YA NNE ,YA IBADA INAYOWATAKA WAUMINI WA MADHEHEBU YA ROMAN CATHOLIC KUSIMAMA KATIKA UKWELI.

Baadhi ya waumini wakitoka misa ya kwanza katika kanisa kuu la Jimbo kuu la Songea la Mt.Mathias Mlumba Kalemba leo.
 Bwana Thomas Lipuka kwa kushoto akiwa na mwenzake Foroma  kulia wakiwa nje ya kanisa hilo wakijadili ukweli,wakidai ukweli sikuhizi haupo.Ukweli umeshindikana miongoni mwa binadamu wengi wakiwemo wa madhehebu ya Catholic wenyewe.Kwa sababu ya Utanda wazi uliyoingiwa kwa kasi.
Kanisa la mtakatifu Mathias Mulumba Kalemba Songea.

No comments:

Post a Comment