Saturday, February 16, 2013

Breaking newsssssssssssss.Upepo mkali uliyoandamana na mvua ya mawe iliyonyesha leo katika Manispaa ya Morogoro yasababisha hasara

Upepo mkali uliyoambatana na mvua ya mawe iliyonyesha kwa masaa mawili katika Manispaa ya Morogoro leo imesababisha hasara kubwa kwa wakazi wa Manispaa hiyo.
Source wa chanzo hicho mwanachuo cha uandishi wa habari Morogoro ,anasema upepo huo umeezua nyumba nyingi za wakazi wa Manispaa ya Morogoro,karibu maeneo mengi ya Mji huo,Tunigi,Nanenane,Mjipya,Kihonda kwa chambo, na maeneo mengine ambapo upepo na mvua hizo zilinyesha.
Hadi tunazipata taarifa hizo kiasi cha hasara hakijatambulika mpaka pale uongozi wa mkoa huo utakapo fuatilia kuona jinsi wananchi walivyo athirika na mvua hiyo.

No comments:

Post a Comment