Friday, February 1, 2013

PAMOJA NA KILIMO KWANZA LAKINI BEI ZA PEMBEJEO ZIKO JUU HASA MBOLEA

Blog hii leo imepita pita kwa wakulima wa mazao ya mahindi Katika vijiji vya Masigila, na Litapwasi wakihaha jinsi ya kukuza mahindi yao kwa mbolea ambayo bei yake iko juu.
Mkazi mmoja ambaye jina lake hakutaka litajwe alisema Mbole ni shilingi 57,000 kwa mfuko na shilingi 59,000 kwa mfuko.na anasema hekari moja inaingia mfuko mmoja na nusu.akasema mkulima ili aweze kupata mavuno ya kutosha ni lazima awekee mbolea mahindi yake,je kwa bei hiyo kauli mbiu ya Kilimo kwanza itafanikiwa?

No comments:

Post a Comment