Thursday, February 14, 2013

JAMII IMETAKIWA KUACHA KUWANYANYAPAA VIJANA WALIOACHA KUTUMIA MADAWA YA KULEVYA JIJINI DAR ES SALAAM

Baadhi ya vijana waliokuwa wakitumia madawa ya kulevya Jijini Dar es salaam ,Wakitoa kilio chao kwa serikali cha kuwapatia shughuli za kufanya ili wasirudie tena kwenye utumiaji wa madawa hayo.
Vijana hao ili jamii iwatambue na kuwakubali kuwa ni vijana wema wamefanya shughulu za usafi,katika kituo cha uhamasishaji wa kuacha madawa ya kulevya (SOABAR ) na sokoni
 ( Source ITV )

No comments:

Post a Comment