Sunday, February 17, 2013

MKANDARASI MZURI WA KUTENGENEZA BARABARA KWA KIWANGOCHA LAMI NIPAMOJA NA VIFAA.LEO NIMEBAINI MALORI YA WATENGENEZA BARABARA YA SONGEA MBINGA KIWANGO CHA LAMI

 Blog hii leo imekutana na malori ya kampuni ya ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami kutoka Songea hadi Mbinga,ni dalili kuwa kazi imekamilika,wakati waliopewa kipande cha Namtumbo hadi Tunduru ni kitandawili. tupu hakuna kinaccho endelea,
 Malori yakitoka Mbinga kuja Songea leo asubuhi hapa mjini
Si hayo matatu tu bali yalikuwa zaidi ya sita

No comments:

Post a Comment