Sunday, February 3, 2013

JE KUCHUKUA SHERIA MIKONONI KWA KUWACHOMA MOTO WAHALIFU NDIYO DAWA YA KUKOMESHA WIZI ?

Wananchi wamechoshwa na wizi wa vitu mbalimbali, na wakipelekwa polisi au mahakamani baada ya wiki yuko mitaani..kutokana na hali hiyo wananchi wa Jijini Dar es Salaam ,wameamua kuchukua sheria mikononi za kuwaadhibu wahalifu wote ambao wakikamatwa kwa wizi ni kuwa mwagia mafuta ya taa na kuwachoma moto.
Huyo kijana ni mtuhumiwa aliyekamatwa Jijini Dar es Salaam kwa wizi wa pikipiki na kuchomwa moto.Je kitendo cha kuchukua sheria mikononi za kuchoma moto wahalifu ndiyo dawa ya kukomesha wizi na uhalifu?

No comments:

Post a Comment