Tuesday, February 12, 2013

KWA NINI BINADAMU TUNASHINDWA KUWA WAVUMILIVU KATIKA MAISHA YETU ? KWA NINI WATU WAPIGANE HADI KUPOTEZEANA NAISHA KWA AJILI YA NANI KACHINJA NYAMA?

Jambo la wananchi kuchukua jukumu la kupigana hadi kutoana maisha kwa ajili ya nani kachinja ng'ombe au mbuzi.Imani hizi zitatupotezea heshima ya Taifa letu ambalo linajulikana kama kisiwa cha Amani.Kila mtu anahaki ya kuwa na imadi yake ya kuabudu ila inapofikia kwenye uhalali wa uchinjaji ikibainika kwa nini waumini hao wasiache kwenda kununua nyama ambayo haikufuata taratibu ya uchinjaji hadi imalizike buchani.
Ni jambo la kusikitisha sana,Serikali isilifumbie jicho tukio hilo lilotokea hivi katibuni za waumini wa Kikristo na Kiislamu kupigana,kuchoma bucha na hata kupoteza uhai wa watu,lisitokee tena sehemu nyingine busara haitaji kwenda shule.Wote ni ndugu moja.

No comments:

Post a Comment