Friday, February 1, 2013

SERIKALI INAPOFANYA KAZI YA KUWAONDOLEA WANANCHI WAKE KERO YA MIUNDO MBINU NI VYEMA TUIPONGEZE HASA YA BARABARA KWETU KUSINI HEBU SHUHUDIA KWA MACHO YAKO

 Kwa kawaida wanaovaa miwani ya mbao kazi nzuri kama kizi hawaoni.basi hizo ni barabara ka kusini kutoka Tunduru hadi Dar es Salaam ni masaa machache ikilinganishwa na miaka ya nyuma  usafiri ulikuwa wa meli,na ndege.lakini sasa mambo ya usafiri ni poa.
 Mtwara Lindi -Dar es Salaam
 Eneo la mashamba ya chumvi Lindi
 Mingoyo Lindi kwenda Dar es Salaam kwa raha zako.sio siku tatu njiani,sasa ni masaa 9 upo Dar.

No comments:

Post a Comment