Wednesday, September 21, 2011

Waziri Mkuu awashtukia polisi katika usindikizaji wa magari ya mizigo yanayokwenda nje ya nchi

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Mizengo Pinda amewashtukia askari polisi wanao sindikiza magari ya mizigo kutokuwa makini na kazi yao ,hasa katika kupitisha sukari kwenda nje ya nchi,Ametoa angalizo kuwa iwapo askari polisi hawatakuwa makini ,askari jeshi watafanya kazi hiyo badala yao.

No comments:

Post a Comment