Saturday, September 17, 2011

MFANYAKAZI WA KITUO CHA MAGAZETI URU YETU MBEYA MAREHEMU JOSEPH MHAGAMA AMEZIKWA LEO SONGEA

 Joseph Mhagama amezikwa kwenye makaburi ya Lizaboni  katika manispaa ya Songea jana ambapo alifariki duia katika hospitali ya Rufaa Jijini Mbeya.
 Marehemu Joseph Mhagama alizaliwa tarehe 19/01.1957 na akafariki tarehe 14/9/2011 na kuzikwa tarehe 17/9/2011,marehemu ameacha mjane na watoto watano ( 5 )
 Baada ya kuwekwa mataji kwenye kaburi lake watoto wa marehemu waliwasha mishumaa
 Mama wa marehemu Joseph aliyeinama kidogo na mke wake aliyejikumbatia wakilia kwa uchungu wakumpoteza mtu aliyekuwa tegemeo lao katika maisha.
Baada ya historia ya marehemu salamu za mwakilishi wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi zilitolewa na Mkuu wa kituo cha Nuru Yetu Mbeya Bibi Tupeligwe mwenye miwani,aliye sema badala ya mwakilishi kutoka wizarani Bwana Fridolini Banzi kuchelewa kutokana na gari lake kuharibika njiani,lakini alifika baada ya mazishi.Mungu ailaze Roho ya Marehemu huyo mahali pema peponi Amina.

No comments:

Post a Comment