Friday, September 9, 2011

NIKIWA SAFARINI NIKITOKEA BONGO NILIJIFUNZA MENGI KUHUSU MADERVA NA UENDESHAJI WA MAGARI YAO

 Morogoro kwenye mzunguko kwnea Stendi ya mabasi makubwa
 ukisha ingia uwanjani hapo utawakuta watu wamekaa katika kibanda ndani ya uwanja huo katika stendi ya Morogoro.

Hiyo ndiyo stendi ya Morogoro kwa ndani inavyo onekana,picha hizi nilizipata nikiwa ndani ya basi la Sumry,lakini ni kazi kidogo,kuna watu wengine wana mawazo hasi,wakikuona una kamera wanakuwa wakali wakidai kuwa wakipigwa picha hizo wanakwenda kuuzwa ulaya,Basi mkasa huo ulinipata kwa kijana mmoja aliyekuwa akiuza mikate.

No comments:

Post a Comment