Friday, September 16, 2011

KUMBE UZURI WA GARI NI INJINI!

Kuchimba dawa,lugha isiyo na makali kwa waungwana.basi hilo lilikuwa likielekea Mbeya,la Kampuni ya Super Feo,linaloondoka saa 5,abiria walivyo fika stendi ya Songe hawa kuamini macho yao kuona basi hilo likifika pale na wasafiri waingie.Tiketi zao zinaonyesha basi jipya lakini lililoletwa lazamani na limechoka ile mbaya.

Wasafiri waliingia kwa shingo upande nikiwemo mimi pia,kuwa safari haitafikika,kumbe basi lile ni imara injini yake bado inadai,tulifika mbeya mapema na kurudi nalo hadi Songea.Ama kweli uzuri wa gari ni Ijini na siyo rangi au bodi.

No comments:

Post a Comment