Friday, September 16, 2011

MKURUGENZI WA ELIMU YA WATU WAZIMA ANAUNGANA NA FAMILIA YA MAREHEMU JOSEPH MHAGAMA ALIYE FARIKI GHAFLA JIJINI MBEYA MWILI WAKE UMELETWA SONGEA KWA MAZISHI

Marehemu Joseph Mhagama aliajiriwa na katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Kurugenzi ya Elimu ya Watu Wazima kwenye vituo vya Kanda.Kanda ya Nyanda za Juu Kusini Jijini Mbeya.Marehemu amefariki ghafla,na mwili wake umeletwa Songea kwa mazishi ambako ndiyo kwake.Wafanya kazi wa TUJIFUNZE KUSINI kinatoa pole nyingi kwa familia ya Mhagama kwa kufiwa na mfanya kazi mwenzao hasa katika kipindi hiki kigumu cha maombolezo.Mungu ailaze roho ya marehemu Joseph Mhagama mahali pema peponi Amina.

No comments:

Post a Comment