Thursday, September 22, 2011

SITTA ATAJA VIKWAZO ZINAVYO RUDISHA NYUMA MAENDELEO YA MKOA WA TABORA

 Mheshimiwa Samweli Sitta Waziri wa jumuiya ya Afrika Mashariki ametaja vitu ambavyo vimesababisha mkoa wa Tabora kuchelewa kupata maendeleo kuwa ni pamoja na Umeme,maji miundo mbinu ya barabara na reli.amesema kuwa serikali sasa imeelekeza Tabora kuboresha miundombinu ya usafirishaji,basi baada ya miaka mitano kuanzia sasa.mkoa huo utapiga hatua kubwa katika maendeleo.
Naye aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Tabora Bw.Abed Mnyemusa anasema Tabora itakuwa moja ya mikoa ambayo itakuwa katika mandeleo baada ya miundo mbinu ya usafiri kukamilika.Alisema shirika la reli limechangia kwa kiasi kikubwa katika kurudisha nyuma maendeleo katika mkoa huo.kwa sababu ya shindwa kufanya kazi kama zamani.

No comments:

Post a Comment