Tuesday, September 13, 2011

AMA KWELI KILA KITU NA WAKATI WAKE, ZAO LA MKONGE LILIKUWA NI ZAO LA BIASHARA NA MASHAMBA MENGI YALIKUWA YAKISHIKILIWA MAGRIKI YALIVYO CHUKULIWA NA SERIKALI ZAO HILI LILIPUNGUA THAMANI NA MASHAMBA YALIKUFA.

 Mkonge ni zao linalotoa nyunzi ambazo zinatengenezea mazulia,kamba mbalimbali,magunia,na vitu vingi.kwa matumizi ya nyumbani.Aidha zao hili lililimwa  katika mikoa ya Morogoro,Tanga,Kilimanjaro na kusini kidogo mkoa wa Lindi.Lakini baada ya serikali kuyachukua mashamba hayo kutoka kwa ( Wazungu } Magriki mashamba mengi yalikufa.
Mashamba ambayo wawekezaji wanaendeleza zao hilo kwa kiasi kidogo ni kama hayo ya Morogoro - Kigruila,Kimamba Kilosa,Korogwe,na mengine.Serikali kama haijapata wawekezaji wa kuendeleza zao hilo basi wananchi wanao yazunguka mashamba hayo wapewe walime mazao ya mahindi,kunde,maharage na mazoa mengine mchanganyikoa kuliko kuyaacha na kuwa msitu na mapori ya kuhifadhi wanyama waharibifu wa mazao ya wakulima.

No comments:

Post a Comment