Wednesday, September 21, 2011

BREAKING NEWS ! ! ! SERIKALI IMERUHUSU WATU BINAFSI KUWEKEZA KWENYE UMEME

Waziri wa Nishati na Madini Mhe.William Ngereja amesema kuwa serikali imeruhusu watu binafsi kuwekeza kwenye umeme,wakiwekeza kwenye umeme wataweza kuiuzia TENESCO umeme wao,ili kupunguza tatizo la umeme lililoikumba taifa.

No comments:

Post a Comment