Wednesday, September 21, 2011

MWIZI HAPENDI KUIBIWA HEBU ONA MCHEO HUO INGWA NI MCHEZO LAKINI KUNA UKWELI NDANI YAKE

Madereva wa pikipiki au boda boda kupandisha abiria wawili au mishkaki ni jambo la kawaida,ingawa askari wa usalama barabarani wanajaribu kuzuia.Lakini kwa tukioa la wanasanaa hao,linawakilisha mwizi kuogopa kuibiwa.Huyo bwana naliyekaa akiangalia alikotoka aliogopa kukaa kumwangalia dereva,na mwenzake akae nyuma yake,huenda aliyekaa nyuma yake angemwibia pesa yake aliyeweka mifuko ya nyuma.

No comments:

Post a Comment