Friday, November 5, 2010

WABUNGE WA MKOA WA RUVUMA WA CCM WAMO NDANI YA BUNGE BAADA YA KUSHINDA KATIKA MAJIMBO YAO,CHADEME YAPATA VITI VYA UDIWANI JIMBO LA SONGEA MJINI UBUNGE DOKTA EMANUEL NCHIMBI ABWAGA WA CHADEMA

Dokta Emanuel Nchimbi atetea kiti chake cha Ubunge katika jimbo lake la Songea Mjini baada ya kumshinda mpinzani wake Advocate Mbogolo wa CHADEMA aliyewania nafasi hiyo kwa mara nne sasa na kuambulia patupu,asikate tamaa ipo siku ndoto yake itakamilika ya kuingia Jengo la Bunge la Jamhuri ya Tanzania ( Picha na Christian Sikapundwa)

No comments:

Post a Comment